Wednesday, August 11, 2010

Rachel Marlon akitumbuiza!


Mwanamuzi Rachel Marlon anayetamba na kibao chake kiitwacho"Sina hofu tena" akiimba na kucheza huku pembeni yake akisindikizwa na Kashumba Basil.

Wanamuziki wa Injili kutoka Japan


wanamuziki wa muziki wa Injili Kutoka Japan wakiimba kama walivyobambwa na kamera zetu ndani ya Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church almaarufu kama Nyumba ya ufufuo na Uzima iliyopo kawe jijini Dar es Salaam.