Haya ndiyo yaliyojiri DPC Jumapili ya tarehe 27 February katika Tamasha la Kusifu na Kuabudu ikiw ni muendelezo wa programu hiyo inayokutanisha vijana katika kumuabudu Mungu. Ilikuwa safi sana, tulimuona Mungu akitupigania. (Photo: Courtesy of RudishaMusic)