Monday, September 20, 2010

Peace Muluu amsindikiza Jane Misso katika Uzinduzi wa albamu yake

Peace Muluu kutoka Nairobi Kenya, muimbaji wa nyimbo za injili
ambaye alishambulia jukwaa pamoja na Jane Misso. Katika picha Muluu akiimba ndani ya Nyumba ya Ufufuo na Uzima.


Peace Muluu akiimba ndani ya Nyumba ya Ufufuo na Uzima, iliyopo kawe jijini Dar es salaam, katika viwanja vya Tanganyika Packers.

Picha zote kwa hisani ya Ufufuo na Uzima.