Friday, December 31, 2010

Happy New Year 2011

Happy New Year all Tanzanians.......... Happy New Year all Tanzanians and the world as the whole....
Hua huyu ni ishara ya Roho Mtakatifu.....RudishaMusic inawaombea vijana wote wanaomwimbia Mungu katika muziki wa Injili wajazwe Roho Mtakatifu na Wapae juu kama tai katika huduma yao ya uimbaji katika mwaka huu 2011. Wamngojao BWANA watapata nguvu mpyaa nao watapaa juu kama tai...